Tuesday, May 20, 2014
MBATIA AAHIDI KUTOA MILIONI 10 KWA PROFESA ATAKAYEPATA MASWALI YOTE YA MTIHANI WA DARASA LA SABA MWAKA JANA
at 4:55:00 AM |  No comments
Amependekeza kuwa ili kupata tiba, bunge limuombe rais Jakaya Kikwete kuunda tume ya kudumu ya elimu nchini ambayo itakayokuwa inahakikisha ubora wa elimu na kudhibiti mambo yanayosababisha kutetereka kwa elimu nchini na amependekeza iitwe ‘Education quality assurance and control’.
Share
MATUKIOPosted by Unknown
-
Ushirika mpya kati ya Afrika na Ulaya
-
MAMIA YA WKAAZI WA DAR WAJITOKEZA KUMLAKI MSHINDI WA BIG BROTHER AFRICA..Tazama hii
-
TAZAMA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2016-2017 LIVE KUTOKA NECTA
-
Wabunge wanaume waonyesha ubabe Kenya
-
Mh.HAWA GHASIA AZINDUA RIPOTI YA MAENDELEO YA BINADAMU MKOANI ARUSHA..Soma hapa

0 comments: