Alipoulizwa kisa na mkasa hadi kuwa katika hali mbaya kiasi hicho, mtoto huyo alikuwa na haya ya kusema:
“Ninachokikumbuka ni kwamba siku hiyo nilitoka shule, ilipofika saa 12:00 jioni, mama akawa amerudi kutoka katika kibarua chake.
Kwa
upande wake, bibi yake, Helen Barnaba anayemuuguza mtoto huyo baada ya
mama yake kukamatwa na polisi alikuwa na haya ya kusema:
0 comments: