Idris akionekana ni mwenye furaha kubwa sana baada ya kuwasili nchini.
Mama Mzazi wa Idris Sultan akijiandaa kumpokea mwanae.
Mshindi wa Shindano la Big Brother Africa 2014,Idris Sultan
akishangilia wakati alilakiwa na Washabiki wake waliojitokeza kwa wingi
kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius K. Nyerere,Jijini Dar es
salaam leo akitokea nchini Afrika Kusini yalikokuwa yakifanyika
mashindano hayo.Kushoto kwake ni Laveda aliekuwa mshiriki mweza wa
Idris.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Barbara Kambogi
(kati) akijadiliana jambo na Mshindi wa Big Brother Africa 2014,Idris
Sultan pamoja na aliekuwa mshiriki wa shindano hilo,Laveda katika uwanja
wa ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa Big Brother Africa 2014,Idris Sultan akiongea na waandishi wa habari.
Wednesday, December 10, 2014
MAMIA YA WKAAZI WA DAR WAJITOKEZA KUMLAKI MSHINDI WA BIG BROTHER AFRICA..Tazama hii
at 11:50:00 PM |  No comments
Share
MATUKIOPosted by Unknown
-
IDARA YA UHAMIAJI YAFANYA MABADILIKO KWA WAFANYAKAZI 200 KATIKA VITUO VYA KAZI.
-
LAFARGE TANZANIA YATOA SARUJI MIFUKO ZAIDI YA 1,000 KUJENGA UPYA MABWENI SEKONDARI YA IYUNGA.
-
MWIGULU NCHEMBA AANZA SAFARI YA KUHAKIKISHA WAFUGAJI WANAACHA KUFUGA KIHOLELA,WAFUGE KWA VITALU.
-
WANANCHI WAMUAHIDI PROFESSOR JAY USHINDI WA KISHINDO MIKUMI..Tazama hii...
-
WANANCHI WENYE HASIRA KALI WAMPIGA NA KISHA KUMCHOMA MOTO KIJANA MMOJA KWA TUHUMA ZA WIZI..Bofya hapa...
0 comments: