Idris akionekana ni mwenye furaha kubwa sana baada ya kuwasili nchini.
Mama Mzazi wa Idris Sultan akijiandaa kumpokea mwanae.
Mshindi wa Shindano la Big Brother Africa 2014,Idris Sultan
akishangilia wakati alilakiwa na Washabiki wake waliojitokeza kwa wingi
kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius K. Nyerere,Jijini Dar es
salaam leo akitokea nchini Afrika Kusini yalikokuwa yakifanyika
mashindano hayo.Kushoto kwake ni Laveda aliekuwa mshiriki mweza wa
Idris.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania,Barbara Kambogi
(kati) akijadiliana jambo na Mshindi wa Big Brother Africa 2014,Idris
Sultan pamoja na aliekuwa mshiriki wa shindano hilo,Laveda katika uwanja
wa ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa Big Brother Africa 2014,Idris Sultan akiongea na waandishi wa habari.
Wednesday, December 10, 2014
MAMIA YA WKAAZI WA DAR WAJITOKEZA KUMLAKI MSHINDI WA BIG BROTHER AFRICA..Tazama hii
at 11:50:00 PM |  No comments
Share
MATUKIOPosted by Unknown
-
MWIGULU NCHEMBA ATUA MGODI WA NYAMHUNA UNAODAIWA KUTESA NA KUUA MTANZANIA MMOJA,AWAKAMATA WAHUSIKA(WACHINA NA WATANZANIA) WANAOSADIKIKA KUHUSIKA.
-
MARUBANI 3 WA JESHI LA POLISI WAFARIKI PAPOHAPO BAADA YA KUPATA AJALI YA HELIKOPTA JIJINI DAR.Tazama hapa..
-
CHADEMA YAKANUSHA KUHUSU HABARI INAYOENEA MTANDAONI KUWA WAMEISHTAKI NEC ICJ
-
RAIS DKT. MAGUFULI AMUAPISHA NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI JIJINI DAR LEO
0 comments: