Basi la Super Aljabir baada ya ajali.
Basi hilo likiwa limepinduka.
Baadhi ya miili katika ajali hiyo ikiwa eneo la tukio.
Watu 12 wamefariki dunia papo hapo na wengine 45 wamejeruhiwa katika ajali ya basi mali ya kampuni ya al Jabir kugonga Treni ya Tazara katika eneo la Kiberege, Morogoro..Majeruhi wanapatiwa matibabu katika hospatali ya St Francis huku maiti zikiwa zimehifadhiwa katika hosptali hiyo hiyo......
Friday, November 7, 2014
WATU 12 WAMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA BASI LA SUPER AL JABIRI KUGONGA TRENI...kumradhi kwa picha utakazoziona hapa
at 2:14:00 AM |  No comments
Share
MATUKIOPosted by Unknown
-
GHALA LATEKETEA KWA MOTO USIKU HUU, BARABARA YA KUELEKEA MABATINI AFRIKA SANA.Fungua hapa Ujioneee
-
Tamasha la Pasaka ni jambo kubwa kwetu.Asema DC Geita
-
NICE STUDIO YA JIJINI ARUSHA YAPANIA KUWAINUA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI.Tazama hapa.....
-
WAHARIRI WA HABARI WAPEWA SOMO KUHUSIANA NA MASUALA MBALIMBALI YA UWEKEZAJI NCHINI
-
PITIA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI DECEMBER 15, 2016
0 comments: