Basi la Super Aljabir baada ya ajali.
Basi hilo likiwa limepinduka.
Baadhi ya miili katika ajali hiyo ikiwa eneo la tukio.
Watu 12 wamefariki dunia papo hapo na wengine 45 wamejeruhiwa katika ajali ya basi mali ya kampuni ya al Jabir kugonga Treni ya Tazara katika eneo la Kiberege, Morogoro..Majeruhi wanapatiwa matibabu katika hospatali ya St Francis huku maiti zikiwa zimehifadhiwa katika hosptali hiyo hiyo......
Friday, November 7, 2014
WATU 12 WAMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA BASI LA SUPER AL JABIRI KUGONGA TRENI...kumradhi kwa picha utakazoziona hapa
at 2:14:00 AM |  No comments
Share
MATUKIOPosted by Unknown
-
UPIGAJI KURA KATIBA MPYA KIZUNGUMKUTI,KIKWETE NA JAJI WEREMA WATOFAUTIANA SIKU YA KUPIGIWA KURA..Soma hapa....
-
Ajali Mbaya..MKE WA MMILIKI WA HOTELI YA AQ JIJINI ARUSHA AFARIKI DUNIA PAPOHAPO BAADA YA KUPATA AJALI MBAYA YA GARI..Kumradhi kwa Picha
-
Hii inatia moyo...BANDARI YA KIGOMA KUBORESHWA NA KUPANULIWA ZAIDI...Tazama hapa
-
ZISHINDE CHANGAMOTO UFANIKIWE MAISHANI.UKUMBWA WA CHANGAMOTO NDIO UKUMBWA WA MAFANIKIO YALIYOKO MBELE YAKO”.Makala ya Uchumi..
0 comments: