Basi la Super Aljabir baada ya ajali.
Basi hilo likiwa limepinduka.
Baadhi ya miili katika ajali hiyo ikiwa eneo la tukio.
Watu 12 wamefariki dunia papo hapo na wengine 45 wamejeruhiwa katika ajali ya basi mali ya kampuni ya al Jabir kugonga Treni ya Tazara katika eneo la Kiberege, Morogoro..Majeruhi wanapatiwa matibabu katika hospatali ya St Francis huku maiti zikiwa zimehifadhiwa katika hosptali hiyo hiyo......
Friday, November 7, 2014
WATU 12 WAMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA BASI LA SUPER AL JABIRI KUGONGA TRENI...kumradhi kwa picha utakazoziona hapa
at 2:14:00 AM |  No comments
Share
MATUKIOPosted by Unknown
-
MKUTANO WA TATU WA WAWEKEZAJI WAFANYIKA...Bofya hapa...
-
NIDA YAANZA KUTOA VITAMBULISHO VYENYE SAINI
-
Happy birthday Michuzi Blog
-
Rais Dkt.Magufuli ahutubia Mei Mosi, atangaza kupunguza kodi ya mishahara kwa 2%
-
Diamond Platnumz Huwa Hali Chakula Anachopika House Girl Wake..Kisa? Harmonize Afunguka Hapa
0 comments: