Sunday, April 27, 2014
MAZOEZI NA VIFAA VYA KIJESHI VYATAWALA MAADHIMISHO YA UHURU.....Tazama hapaaaaaaaa!!!!!!!!!
at 5:49:00 AM |  No comments
Watanzania wengi wamejitokeza katika maadhimisho hayo wakiwemo marais wa nchi mbalimbali za Afrika, Viongozi mbalimbali na wawakilishi wa nchi katika mataifa mbalimbali ya Afrika, Nchi za kiarabuni, Asia na Ulaya, Fullshangwe ilikuwepo kwenye eneo la tukio na kukuletea moja kwa moja matukio mbalimbali yaliyojitokeza katika maadhimisho hayo ambayo yamefana kwa kiwango kikubwa.
Share
MATUKIOPosted by Unknown
-
MASANJA MKANDAMIZAJI MSANII MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA..SOMA HAPA.
-
Mkutano wa Ulaya na Afrika waanza Brussels
-
Nigeria gays: 20 lashes for 'homosexual offences'
-
ZISHINDE CHANGAMOTO UFANIKIWE MAISHANI.UKUMBWA WA CHANGAMOTO NDIO UKUMBWA WA MAFANIKIO YALIYOKO MBELE YAKO”.Makala ya Uchumi..
-
HAKIKA INAPENDEZA...TAZAMA MAMBO YALIVYOKUA HUKO DODOMA KATIKA SHEREHE ZA MEI MOSI
0 comments: