Wednesday, May 4, 2016

MAADHIMISHO YA SIKU MKUNGA DUNIANI KUFANYIKA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM

at 10:47:00 AM  |  No comments

s
Rais wa chama cha Wakunga Tanzania (TAMA) bi.Feddy Mwanga akizungumza leo na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu maadhimisho ya siku ya mkunga duniani yatakayofanyika kesho , jijini Dar es Salaam, Kulia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wakunga Tanzania Dkt. Sebalola Leshabari .
Katibu Mkuu wa Chama cha Wakunga Tanzania (TAMA) Dk. Sebalola Leshabari akiwasilisha maada katika mkutano wa kuelekea maadhimisho ya Mkunga Duniani, uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya wadau mbalimbali waliofika kwenye mkutano wa kuelekea maadhimisho ya siku ya mkunga duniani, uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu, Jamii)

Share
, , Posted by Unknown
About the Author

Write admin description here..

0 comments:

Text Widget

Blogger templates. Proudly Powered by Blogger.