Friday, March 11, 2016

WAZIRI WA MAJI ATUMBUA MAJIPU DAWASCO,AWASIMAMISHA WATUMISHI TISA

at 1:13:00 PM  |  No comments




Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Inj. Gerson Lwenge (aliyesimama) akizungumza na bodi pamoja na menejimenti ya Shirika la Maji taka na Maji safi Dar es Salaam (DAWASCO) wakati Waziri huyo alipotembelea makao makuu ya shirika hilo Dar es Salaam jana na kuiagiza bodi kusimamisha kazi watumishi tisa.  
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Inj. Gerson Lwenge (aliyesimama) akizungumza na bodi pamoja na menejimenti ya Shirika la Maji taka na Maji safi Dar es Salaam (DAWASCO) wakati Waziri huyo alipotembelea makao makuu ya shirika hilo Dar es Salaam jana na kuiagiza bodi kusimamisha kazi watumishi tisa.
 Mameneja wa Dawasco wakiwa katika mkutano huo.
 Mmoja wa mamena wa Dawasco akichukua dondoo za yake yaliyosema na Waziri Lwenge
  Mameneja wa Dawasco wakiwa katika mkutano huo.
  Mameneja wa Dawasco wakiwa katika mkutano huo.
 Mwenyekiti wa bodi ya Dawasco, Meja General (Mstaa) Samuel Kitundu (wapili kushoto) na baadhi ya wajumbe wa bodi wakitoka katiia mkutano huo. Ambapo pamoja na mambo mengine pia Waziri Lwenge aliiagiza bodi hiyo kuchunguza kampuni zote kubwa jijini Dar es Salaam kama zinalipia huduma ya maji.
Mameneja wakitoka katika mkutano huo.

Share
, Posted by Unknown
About the Author

Write admin description here..

0 comments:

Text Widget

Blogger templates. Proudly Powered by Blogger.