Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Inj.
Gerson Lwenge (kulia) akizungumza na bodi pamoja namenejimenti ya Shirika la Maji taka na Maji safi Dar es Salaam (DAWASCO) wakatiWaziri huyo alipotembelea makao makuu ya shirika hilo Dar es Salaam jana nakuiagiza bodi kusimamisha kazi watumishi tisa.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Inj.
Gerson Lwenge (aliyesimama) akizungumza na bodi pamoja na
menejimenti ya Shirika la Maji taka na Maji safi Dar es Salaam (DAWASCO) wakati
Waziri huyo alipotembelea makao makuu ya shirika hilo Dar es Salaam jana na
kuiagiza bodi kusimamisha kazi watumishi tisa.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Inj.
Gerson Lwenge (aliyesimama) akizungumza na bodi pamoja na
menejimenti ya Shirika la Maji taka na Maji safi Dar es Salaam (DAWASCO) wakati
Waziri huyo alipotembelea makao makuu ya shirika hilo Dar es Salaam jana na
kuiagiza bodi kusimamisha kazi watumishi tisa.
Mameneja wa Dawasco wakiwa katika mkutano huo.
Mmoja wa mamena wa Dawasco akichukua dondoo za yake yaliyosema na Waziri Lwenge
Mameneja wa Dawasco wakiwa katika mkutano huo.
Mameneja wa Dawasco wakiwa katika mkutano huo.
Mwenyekiti
wa bodi ya Dawasco, Meja General (Mstaa) Samuel Kitundu (wapili
kushoto) na baadhi ya wajumbe wa bodi wakitoka katiia mkutano huo.
Ambapo pamoja na mambo mengine pia Waziri Lwenge aliiagiza bodi hiyo
kuchunguza kampuni zote kubwa jijini Dar es Salaam kama zinalipia huduma
ya maji.
Mameneja wakitoka katika mkutano huo.
0 comments: