Monday, March 14, 2016

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI MBALI MBALI ZA AFRIKA

at 12:52:00 PM  |  No comments

Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete, akizungumza na Mabalozi mbalimbali wa Afrika wanaoziwakilisha nchi zao nchini, walipofika nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo kumpa mkono wa pole kutokana na kifo cha Kaka yake, Suleima Kikwete, kilichotokea hivi karibuni.
Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete (katikati), akifurahi jambo na Mabalozi mbalimbali wa Afrika wanaoziwakilisha nchi zao nchini, walipofika nyumbani kwake jijini Dar es Salaam leo kumpa mkono wa pole kutokana na kifo cha Kaka yake, Suleima Kikwete, kilichotokea hivi karibuni. (PICHA NA KASSIM MBAROUK).

Share
, Posted by Unknown
About the Author

Write admin description here..

0 comments:

Text Widget

Blogger templates. Proudly Powered by Blogger.