Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa akitoa
maelekezo kwa Mhandisi wa Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO),
Mhandisi Felix Nlalio, kuhusu namna ya kudhibiti mkondo wa maji katika
mto mkondoa yasiathiri hifadhi ya reli.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa, akikagua
bwawa la Kidete linaloelezwa kuathiri hifadhi ya reli katika stesheni za
Mzaganza, Munisagara, Kidete na Magulu Wilayani Kilosa.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa, akitoa
maelekezo kwa viongozi wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), kuhusu namna
ya kushirikisha wananchi kulinda hifadhi ya reli
0 comments: