Meza kuu katika warsha ya wadau wa ajira kwa vijana iliyofadhiliwa na Mpango wa Shirika la Utafiti wa Maendeleo ya Kimataifa kutoka Canada (IDRC) na kuratibiwa na ESRF. Kutoka kushoto ni Afisa kutoka Wizara ya Kazi na Ajira kitengo cha Ajira, Joseph Nganga, Mkurugenzi wa Kazi katika Wizara ya Kazi na Ajira, Ally M. Ahmed, Mkuu wa utafiti na machapisho Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Profesa Fortunata Makene, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel na Mratibu Kazi wa Shirika la Kimataifa la Kazi (ILO) Dk. Annmarie Kiaga.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)
Monday, September 21, 2015
SERIKALI YAKIRI CHANGAMOTO AJIRA KWA VIJANA
at 12:39:00 AM |  No comments
Share
MATUKIOPosted by Unknown
-
RAIS DKT. MAGUFULI AMUAPISHA JAJI WA MAHAKAMA YA RUFANI PAMOJA NA JAJI KIONGOZI, PIA AAGANA NA BALOZI WA OMAN ANAYEMALIZA MUDA WAKE HAPA NCHINI.
-
SUALA LA MUUNGANO SEIF: HATUKO TAYARI KUJADILI SERIKALI MBILI
-
Tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi Muhidini Ngurumo....
-
MTU YOYOTE YULE ANAWEZA KUWA BINGWA KATIKA JAMBO LOLOTE ALITAKALO
-
Hiiiiiiii ni mpya???Hijawahi kutokea....Unawaza nini juu ya watu hawa????
0 comments: