
ASKOFU wa Dayosisi ya Central Tanganyika, Godfrey Mhogolo amefariki dunia leo Nchini Afrika Kusini alikokuwa amekwenda kwa matitabu.. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kanisa la Angilikana Dodoma jana, ilisema kuwa Askofu Mhogolo kabla ya kufikwa na mauti alikuwa akitibiwa katika hospitali ya Milpark huko Johanesburg, Afrika Kusini. Askofu Mhogolo alikuwa askofu wa tano wa dayosisi ya Central Tanganyika na atazikwa katika viwanja vya kanisa Kuu la Roho Mtakatifu Mjini Dodoma. Hata hivyo Mchungaji Michael Nchimbi alisema mipango ya mazishi inaendelea na taarifa zitatolewa baadaye. Mungu ametoa na sasa ametwaa Jina lake lihimidiwe.
Friday, March 28, 2014
ASKOFU WA KANISA LA ANGELIKANA DAYOSISI YA CENTRAL TANGANYIKA, GODFREY MHOGOLO AFARIKI DUNIA
at 12:42:00 AM |  No comments
Share
HABARI ZA INJILIPosted by Unknown
-
MASANJA MKANDAMIZAJI MSANII MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA..SOMA HAPA.
-
Mkutano wa Ulaya na Afrika waanza Brussels
-
UPIGAJI KURA KATIBA MPYA KIZUNGUMKUTI,KIKWETE NA JAJI WEREMA WATOFAUTIANA SIKU YA KUPIGIWA KURA..Soma hapa....
-
ZISHINDE CHANGAMOTO UFANIKIWE MAISHANI.UKUMBWA WA CHANGAMOTO NDIO UKUMBWA WA MAFANIKIO YALIYOKO MBELE YAKO”.Makala ya Uchumi..
0 comments: