Wednesday, May 4, 2016

NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI DK. MHANDISI JU.LIANA PALLANGYO AKUTANA NA WATENDAJI KUTOKA TPDC

at 10:59:00 AM  |  No comments

http://nicemediaworkstz.blogspot.com/Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Dk. James Mataragio (mbele) akielezea mikakati ya shirika hilo katika matumizi ya gesi asilia inayozalishwa kwa ajili ya matumizi ya majumbani na nyingine kuuzwa katika soko la nje katika kikao kilichokutanisha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya nishati, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo kilichofanyika jijini Dar es Salaam. Lengo la kikao hicho lilikuwa ni kujadili matumizi ya gesi iliyogunduliwa nchini katika matumizi ya ndani na nyingine kuuzwa nje ya nchi.
http://nicemediaworkstz.blogspot.com/Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya nishati, Dk. Mhandisi Juliana Pallangyo (pichani) akisisitiza jambo katika kikao hicho.
http://nicemediaworkstz.blogspot.com/Wataalam kutoka Idara ya Nishati kutoka kushoto, Mussa Abbas na Athur Lyatuu wakinukuu hoja mbalimbali zilizokuwa zinajadiliwa katika kikao hicho.
http://nicemediaworkstz.blogspot.com/Wataalam kutoka Idara ya Nishati iliyopo chini ya Wizara ya Nishati na Madini wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa katika kikao hicho.

Share
, Posted by Unknown
About the Author

Write admin description here..

0 comments:

Text Widget

Blogger templates. Proudly Powered by Blogger.