Aliongeza kusema kuwa chuki baina ya jamii zimefikia kiwango cha kutisha, na kwamba watu wamekua wakiteswa na kuchomwa .
Hata hivyo amesema kupelekwa huko kwa vikosi vya Ufaransa na Afrika kumepunguza kiwango kikubwa cha mauaji kwa sasa.
Jamuhuri ya Afrika ya Kati ilitumbukia katika limbo la ghasia baada ya waasi kuchukua mamlaka mwezi Machi mwaka jana.
0 comments: