DUKA la kuuza Rasta za wakina Dada (Urembo) limevamiwa na watu waliosadikika kuwa majambazi, Tukio hilo lijiri maeneo ya Kariakoo jijini Dar Es Salaam,
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari ni kwamba majambazi waliojaribu kufanya jaribio hilo baadhi yao wameuwawa na baadhi, Idadi kamili endelea kufatilia hapa maana waandishi pamoja na wadau bado wapo katika eneo la tukio kufatilia kwa kina,
Saturday, March 29, 2014
MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI:MAJAMBAZI WAVAMIA DUKA LA RASTA ZA KINADADA KARIAKOO WAUWAWA PAPOHAPO. TAZAMA HAPA
at 2:50:00 PM |  No comments
Share
HIVI PUNDEPosted by Unknown
-
WANANCHI WAMUAHIDI PROFESSOR JAY USHINDI WA KISHINDO MIKUMI..Tazama hii...
-
LAFARGE TANZANIA YATOA SARUJI MIFUKO ZAIDI YA 1,000 KUJENGA UPYA MABWENI SEKONDARI YA IYUNGA.
-
MWIGULU NCHEMBA AANZA SAFARI YA KUHAKIKISHA WAFUGAJI WANAACHA KUFUGA KIHOLELA,WAFUGE KWA VITALU.
-
MADAWATI NA MASHUKA YENYE THAMANI YA MILIONI 10 YAKABITHIWA MKOANI MBEYA...Fungua hapa..
-
WANANCHI WENYE HASIRA KALI WAMPIGA NA KISHA KUMCHOMA MOTO KIJANA MMOJA KWA TUHUMA ZA WIZI..Bofya hapa...
0 comments: