DUKA la kuuza Rasta za wakina Dada (Urembo) limevamiwa na watu waliosadikika kuwa majambazi, Tukio hilo lijiri maeneo ya Kariakoo jijini Dar Es Salaam,
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari ni kwamba majambazi waliojaribu kufanya jaribio hilo baadhi yao wameuwawa na baadhi, Idadi kamili endelea kufatilia hapa maana waandishi pamoja na wadau bado wapo katika eneo la tukio kufatilia kwa kina,
Saturday, March 29, 2014
MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI:MAJAMBAZI WAVAMIA DUKA LA RASTA ZA KINADADA KARIAKOO WAUWAWA PAPOHAPO. TAZAMA HAPA
at 2:50:00 PM |  No comments
Share
HIVI PUNDEPosted by Unknown
-
CHUO CHA AJTC WAIBUKA VINARA KWENYE BONANZA LA WAANDISHI WA HABARI..fungua hapa
-
Diamond Platnumz Huwa Hali Chakula Anachopika House Girl Wake..Kisa? Harmonize Afunguka Hapa
-
TPSF YAZINDUA MFUMO WA HABARI KWA AJILI YA WAFANYABIASHARA WADOGO JIJINI DAR
-
MWIGULU NCHEMBA AANZA SAFARI YA KUHAKIKISHA WAFUGAJI WANAACHA KUFUGA KIHOLELA,WAFUGE KWA VITALU.
-
MKUTANO WA TATU WA WAWEKEZAJI WAFANYIKA...Bofya hapa...
0 comments: