*******
Katika
tukio hilo la mlipuko huo wa bomu watu 14 walijeruhiwa vibaya katika
maeneo mbalimbali ya miili yao hali iliyopelekea mmoja wa majeruhi hao
aliyefahamika kwa jina la Sudi Ramadhani mkazi wa Kaloleni jijini hapa
kufariki dunia akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya Mkoa wa
Arusha ya Mount Meru.
Kwa hisani ya Mtaa kwa Mtaa Blog
Ametoa wito kwa wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi kwa lengo la kuwafichua wahalifu wa ndani na nje wa matukio haya ya kihalifuna matukio mengine kwa lengo la kuvuruga amani na utulivu wan chi.
0 comments: