Ni
katika Hotuba yake ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ya Wizara ya
Habari,Utamaduni na Michezo aliyoiwasilisha Bungeni leo hii muda mfupi
uliopita. Waziri Kivuli Joseph Osmundi Mbilinyi aka Sugu amemtaja Zitto
Z. Kabwe kama Mmiliki wa Kampuni ya Leka Dutigite aliyofanya biashara
isivyo halali na Mashirika ya Umma ya NSSF na TANAPA.
Thursday, May 29, 2014
HOTUBA YA SUGU ILIYOMLIPUA ZITTO HII HAPA..Pitia ujionee.....
at 11:58:00 AM |  No comments
Share
MATUKIOPosted by Unknown
-
Hivi kweli Rais Wetu Huguswi na Wabunge wa Upinzani Kutoka Bungeni?
-
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA NANE WENYE LENGO LA KUDHIBITI SILAHA HARAMU KWA NCHI WANACHAMA MAZIWA MAKUU
-
WATU MAARUFU WA WAFIKA KUUAGA MWILI WA KAPTENI JOHN KOMBA HAKIKA ALIKUWA MTU WA WATU...Tazama hapa
-
RATIBA YA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA BRAZILI 2014 MWANZO HADI MWISHO.....Bofya hapa.....
-
HIACE YAGONGWA VIBAYA NA FUSO JIJINI ARUSHA..Bofya hapa..
0 comments: