“Mheshimiwa Spika,
Machi 14 2013, Wizara ya Uchukuzi iliandika barua yenye kumb. Na. CB
230/364/01/A iliyoomba PTA ilipe gharama ya sh milioni 11.164 katika
Hoteli ya New Africa kwa ajili ya Naibu Waziri wa Uchukuzi. Malipo haya
yalilipwa na Bandari Machi 28, 2013. Malipo hayo hadi leo hayana
maelezo.
0 comments: