| ||
| mwenyekiti wa baraza la watu wenye ulemavu Prof Edward Bagandashwa |
| Kamishina wa ustawi wa jamii Bw Dunford Makala akitoa salam zake |
| Viongozi mbali mbali wakiwa pamoja na kamati ya ulinzi mkoa |
| Waziri Lukuvi akihutubia |
| Ndumbalo akipokea cheti toka kwa waziri Lukuvi |
| Waziri Lukuvi akiteta jambo na mkuu wa mkoa wa Iringa Bi Amina Masenza (kulia) |
| Waziri Lukuvi akimakabidhi cheti mwanafunzi mlemavu wa shule ya sekondari ya wasichana Iringa |
| Katibu wa chama cha Viziwi Tanzania Bw Shaibu Juma akiwa katika ulingo wa wasanii wa ngoma kutoka kikundi cha Viziwi |
| Waandamanaji wakiwa katika maandamano hayo leo |
| Walemavu wakiwa katika maadhimisho hayo kitaifa mjini Iringa |
| Mwenyekiti wa mkoa CCM mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu na mwenyekiti wa UWT wilaya ya Iringa mjini wakipongezwa na waziri Lukuvi kwa kuunga mkono maadhimisho ya siku ya walemavu nchini |
| Makamu mwenyekiti wa Shivyawata Bi Amina Mollel akipongezwa na waziri Lukuvi kwa maandalizi mazuri |
0 comments: