Basi la Super Aljabir baada ya ajali.
Basi hilo likiwa limepinduka.
Baadhi ya miili katika ajali hiyo ikiwa eneo la tukio.
Watu 12 wamefariki dunia papo hapo na wengine 45 wamejeruhiwa katika ajali ya basi mali ya kampuni ya al Jabir kugonga Treni ya Tazara katika eneo la Kiberege, Morogoro..Majeruhi wanapatiwa matibabu katika hospatali ya St Francis huku maiti zikiwa zimehifadhiwa katika hosptali hiyo hiyo......
Friday, November 7, 2014
WATU 12 WAMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA BASI LA SUPER AL JABIRI KUGONGA TRENI...kumradhi kwa picha utakazoziona hapa
at 2:14:00 AM |  No comments
Share
MATUKIOPosted by Unknown
-
MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO TAZAMA HII
-
Armed attack on home of exiled Rwanda general.
-
SERIKALI KUENDELEA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA USIMAMIZI NA UDHIBITI WA KEMIKALI
-
South Africa links Rwanda diplomats to attacks
-
Makubwa haya??RAIS WA KOREA APIGA MARUFUKU MTU YEYOTE KUTUMIA JINA LAKE ASEMA WOTE WENYE MAJINA YANAYOFANANA NA LAKWAKE WAKAYAFUTE KWA KUAPA MAHAKAMANI..Tazama hiii
0 comments: