Basi la Super Aljabir baada ya ajali.
Basi hilo likiwa limepinduka.
Baadhi ya miili katika ajali hiyo ikiwa eneo la tukio.
Watu 12 wamefariki dunia papo hapo na wengine 45 wamejeruhiwa katika ajali ya basi mali ya kampuni ya al Jabir kugonga Treni ya Tazara katika eneo la Kiberege, Morogoro..Majeruhi wanapatiwa matibabu katika hospatali ya St Francis huku maiti zikiwa zimehifadhiwa katika hosptali hiyo hiyo......
Friday, November 7, 2014
WATU 12 WAMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA BASI LA SUPER AL JABIRI KUGONGA TRENI...kumradhi kwa picha utakazoziona hapa
at 2:14:00 AM |  No comments
Share
MATUKIOPosted by Unknown
-
Adam Kimbisa ameweka kando msimamo wake..
-
MAADHIMISHO YA SIKU YA WACHANGIA DAMU DUNIANI KUFANYIKA KITAIFA MKOANI DODOMA
-
UNESCO WAKABIDHI KITABU CHA MAFUNZO YA TEHAMA KWA SERIKALI NCHINI
-
DIAMOND PLATNUMZ, SAUTI SOL AND PATORANKING ROCKS VUZU AMP 1st ANNIVERSARY #ONLY THEBEST
-
At Women in the World, the Reality of Uganda’s Brutal Gay Ban
0 comments: