Basi la Super Aljabir baada ya ajali.
Basi hilo likiwa limepinduka.
Baadhi ya miili katika ajali hiyo ikiwa eneo la tukio.
Watu 12 wamefariki dunia papo hapo na wengine 45 wamejeruhiwa katika ajali ya basi mali ya kampuni ya al Jabir kugonga Treni ya Tazara katika eneo la Kiberege, Morogoro..Majeruhi wanapatiwa matibabu katika hospatali ya St Francis huku maiti zikiwa zimehifadhiwa katika hosptali hiyo hiyo......
Friday, November 7, 2014
WATU 12 WAMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA BASI LA SUPER AL JABIRI KUGONGA TRENI...kumradhi kwa picha utakazoziona hapa
at 2:14:00 AM |  No comments
Share
MATUKIOPosted by Unknown
-
Hivi kweli Rais Wetu Huguswi na Wabunge wa Upinzani Kutoka Bungeni?
-
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA NANE WENYE LENGO LA KUDHIBITI SILAHA HARAMU KWA NCHI WANACHAMA MAZIWA MAKUU
-
RATIBA YA MICHUANO YA KOMBE LA DUNIA BRAZILI 2014 MWANZO HADI MWISHO.....Bofya hapa.....
-
HIACE YAGONGWA VIBAYA NA FUSO JIJINI ARUSHA..Bofya hapa..
-
DIAMOND PLATNUMZ, SAUTI SOL AND PATORANKING ROCKS VUZU AMP 1st ANNIVERSARY #ONLY THEBEST
0 comments: