Tuesday, July 8, 2014

BABADA YA KUZUIA KWA MUDA.SERIKALI YARUHUSU UVUVI WA SAMAKI ZIWA RUKWA WILAYANI CHUNYA

at 12:41:00 AM  |  No comments

Serikali wilayani Chunya imeruhusu uvuvi katika Ziwa Rukwa kwa kipindi cha Miezi mitano baada ya kufungwa kwa miezi sita iliyopita kutokana na kupungua kwa samaki.
 Mgeni Rasmi  Afisa Tarafa ya Kiwanja, Shila Sheyo, aliyemwakilisha  Mkuu wa Wilaya ya Chunya Deodatus Kinawiro akiongea na wananchi
Julius Ngwita, Afisa Mifugo na Uvuvi wa Wilaya, akimkaribisha mgeni rasmi
Diwani wa Kata ya Mbangala,Abraham Sambila
Baadhi ya wananchi wakimsikiliza mgeni rasmi

























Share
Posted by Unknown
About the Author

Write admin description here..

0 comments:

Text Widget

Blogger templates. Proudly Powered by Blogger.