
ASKOFU wa Dayosisi ya Central Tanganyika, Godfrey Mhogolo amefariki dunia leo Nchini Afrika Kusini alikokuwa amekwenda kwa matitabu.. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kanisa la Angilikana Dodoma jana, ilisema kuwa Askofu Mhogolo kabla ya kufikwa na mauti alikuwa akitibiwa katika hospitali ya Milpark huko Johanesburg, Afrika Kusini. Askofu Mhogolo alikuwa askofu wa tano wa dayosisi ya Central Tanganyika na atazikwa katika viwanja vya kanisa Kuu la Roho Mtakatifu Mjini Dodoma. Hata hivyo Mchungaji Michael Nchimbi alisema mipango ya mazishi inaendelea na taarifa zitatolewa baadaye. Mungu ametoa na sasa ametwaa Jina lake lihimidiwe.
Friday, March 28, 2014
ASKOFU WA KANISA LA ANGELIKANA DAYOSISI YA CENTRAL TANGANYIKA, GODFREY MHOGOLO AFARIKI DUNIA
at 12:42:00 AM |  No comments
Share
HABARI ZA INJILIPosted by Unknown
-
UNESCO KUENDELEZA UTAMADUNI WA KUZISAIDIA REDIO JAMII
-
Watu 11 wafariki katika milipuko ya mabomu Nigeria
-
Kenya's Nairobi commuters face chaos amid taxi fees protest
-
MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO TAZAMA HII
-
Makubwa haya??RAIS WA KOREA APIGA MARUFUKU MTU YEYOTE KUTUMIA JINA LAKE ASEMA WOTE WENYE MAJINA YANAYOFANANA NA LAKWAKE WAKAYAFUTE KWA KUAPA MAHAKAMANI..Tazama hiii
0 comments: